Thursday, October 18, 2012


RATIBA YA MDAHALO WA KITAALUMA JUU YA SIKUKUU YA KUMUENZI BABA WA TAIFA LETU LA TANZANIA MWL. JULIUS KAMBARAGE NYERERE
ITAKAYOFANYIKA CHUO CHA LIONESS WILDLIFE TRAINING CENTRE, KARATU, SIKU YA JUMAPILI TAREHE 14/10/2012
MUDA
TUKIO
MHUSIKA/WAHUSIKA
01:00 – 02:00
Wageni pamoja na wajumbe wote wa mdahalo kufika mazingira ya Lioness na kuingia kwenye ukumbi wa mdahalo
wote
02:00 – 02:10
Utambulisho wa wajumbe waliohudhuria mdhahalo na ufunguzi rasmi wa mdahalo
Mwenyekiti wa mdahalo
 (Mkuu wa chuo Lioness)
02:10 – 02: 40
Mada kuwasilishwa juu ya kumbukumbu ya baba wa taifa la Tanzania. Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Mr Kisando Nina
( Mkuu wa Chuo Lioness)
02:40 – 03:00
Maoni kutolewa
Wajumbe upande wa meza kuu
03:00 – 03:50
Mdahalo kuendelea
wote
03:50 – 04:00
Taarifa mbalimbali, shukrani na kuhitimisha mdahalo
Viongozi/wawakilishi na mwenyekiti  kufunga mdahalo

No comments:

Post a Comment