Thursday, December 13, 2012

Habari Kuu

Kagasheki awashukia vigogo Hifadhi Ngorongoro

Posted 15 hours ago
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Hamis Kagasheki ametangaza kuwachukulia hatua za kinidhamu maofisa wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) waliokwamisha mradi wa kuwasaidia wafugaji wa hifadhi hiyo ulioahidiwa na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2008....

No comments:

Post a Comment