Friday, October 12, 2012

MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU NYERERE TAREHE 13 OKTOBA, 2012 JIJINI PRETORIA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Katika kuadhimisha Siku ya Mwalimu Julius K. Nyerere, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini, kushirikiana na Jumuiya ya watanzania waishio Afrika Kusini wanafuraha kuwatangazia watanzania wote waishio Afrika Kusini kuwa kutakuwa na Maadhimisho ya Siku ya Nyerere, Baba wa Taifa, tarehe 13/10/2012 katika mpangilio wa ratiba ufuatao:-
Watanzania wote waishio Afrika Kusini, shime tujumuike pamoja.

 Imetolewa na 
 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
 04/10/2012
You might also like:
TPBC: MIKATABA YA FRANCIS CHEKA NA PROMOTA KAIKE SIYAJI ...
ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI SINGIDA.
MADAKTARI WATANGAZA MGOMO KESHO

No comments:

Post a Comment