MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU NYERERE TAREHE 13 OKTOBA, 2012 JIJINI PRETORIA
Tweeted this
Like this, be the first of your Friends
Katika
kuadhimisha Siku ya Mwalimu Julius K. Nyerere, Ubalozi wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini, kushirikiana na Jumuiya ya
watanzania waishio Afrika Kusini wanafuraha kuwatangazia watanzania wote
waishio Afrika Kusini kuwa kutakuwa na Maadhimisho ya Siku ya Nyerere,
Baba wa Taifa, tarehe 13/10/2012 katika mpangilio wa ratiba ufuatao:-
Watanzania wote waishio Afrika Kusini, shime tujumuike pamoja.
Imetolewa na
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
04/10/2012
You might also like:
TPBC: MIKATABA YA FRANCIS CHEKA NA PROMOTA KAIKE SIYAJI ...
ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI SINGIDA.
MADAKTARI WATANGAZA MGOMO KESHO
No comments:
Post a Comment